98. Mungu Ameona Tulivyo
K: Mungu ameona
W: Tulivyo huku chini,
K: Neno hilo jema
W: Litokalo mbinguni Ya kwamba
Yesu kaja na kutuongoza,
tufike uzimani.
K: Hujui njia
W: Uende upande gani
K: Nuru yake Bwana
W: Huangaza njiani. Ya kwamba Yesu
K: Kweli, unajua,
W: Mtu wa duniani.
K: Atakuongoza
W: Upate kuamini. Ya kwamba yesu.
K: Njooni tufungue
W: Milango ya moyoni
K: Neno lake Bwana
W: Likaingie ndani. Ya kwamba Yesu
Comments
Post a Comment