90. Mtini Mponya Alipowambwa
Wimbo: Unter dern Kreuze wo Jesus
Starb. N.K. 71, C.H. 259
Mtini Mponya alipowambwa,
ndipo nimwombapo upozi akaniokoa mpenzi.
Mwana wa Mungu.
Mwana wa Mungu Mwokozi wangu.
Mtini Mponya alipowambwa, Mwana wa Mungu
Chini ya mti wenye uchungu,
ndipo nimwombapo usafi,
mara kwa damu kaniosha Mwana wa Mungu.
Mwana wa Mungu.
Akaniondolea manza,
ameingia ndani mwangu,
kwani mtini amenifia. Mwana wa Mungu.
Mwana wa Mungu
Ziwa la damu ya kaisi,
linatosha makosa yote,
laniendesha wokovuni. Mwana wa Mungu.
Mwana wa Mungu
Hicho kijito chenye mali!
U tayari kuzama humo?
Humo utaona uzima! Mwana wa Mungu.
Mwana wa Mungu
Comments
Post a Comment