74. Bwana Uliyewaita Watakatifu



Bwana uliye waita,

Watakatifu wako,

Wawe mitume, wachunga,

Walishe kundi lako;

Wanyonge na wenye hofu

Wakawa mashujaa,

Na wapole wa kunena

Wasiwe kunyamaa.


Hata leo wawataka

Watakatifu wako,

Nawe wauliza tena

Ni nani aliyeko

Atakaye ni mtume

Afundishe vijana?

Ni tayari Bwana wangu

Ni tume mimi Bwana.


Nitume na mimi, Bwana,

Kama ulivyotumwa,

Habari za msamaha,

Na dhambi kutubiwa,

Niwahubiri wakosa,

Na waliopotea,

Wokovu u wake Bwana,

Aliyewafilia.


Astahiliye hapana

Kutanka habari,

Lakini Wawe waweza

Kutufanya tayari

Neno lako tulijue,

Tupe na Roho wako,

Hayatakuwa ya bure,

Haya maneno yako.

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu