71. Wajibu Mwema Watoka Kwako
K: Wajibu mwema watoka kwako,
Bwana mwenye utukufu.
Neno jema ndilo jina lako.
W: /:Yesu ni mwanzo
wa kazi shamabni,
tena ni Bwana,
wa nguvu kwa utume wetu:/
K: Watendakazi mwako shambani,
Uwape matumaini.
Nazo nguvu wakiwa kazini.
W: /: Watende yote kwa uaminifu,
Wawe makini,
Huduma isiharibike. :/
K: Wapate heri
kuyasikia uliyo yaagizia.
Waje nao kutuhubiria.
W: /: Tena kazini
Wakaelexee Neno
Kwa wazi, na kweli
Ya uzima wako. :/
K: Wajihadhari wawe
Na hamu,
Kushika na kufahamu.
Jina lako lika warehemu.
W: Ni wachungaji,
Waju hilo tu
Si watawala.
Bwana, ujifunue kwao.:/
K: Unawatuma
Katika kundi,
Kwa bidii na juhudi.
Nasi kwao
Tuwe mashahidi.
W: /: Ushangiliwe
Kwa neema yako,
Na kundi lako
Lijue lina viongozi:/
Comments
Post a Comment