68. Nitakutukuza



Nitakutukuza,

Nakuimbia

/: wewe uzima wangu,

Kingojeo changu!:/


Umeniokoa kwa mkono wako,

/:nalifuata njia ya upotevuni:/

Wote wakujue upole wako,

/:wakufuate Yesu ninayekupenda:/


Utume mitume waende kote,

/:kwa nguvu yako Bwana wafu wafufuke:/


Huku chini kote,

Dunia nzima

/: lifanywe kundi moja, wewe Mchunga wao!:/

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu