59. Kazi ni Yako Bwanangu



Kazi ni yako Bwanangu tunayoifanya;

Hakuna ayeweza

Kuvunja kazi hii.

Ni kama punje ya mbegu

ikiwa ndani ya mchanga,

inakufa kwa kuoza;

na hapo yabadilika,

inaota, yakua na kuzaa.


Yesu umeteswa kwanza,

Halafu umepaa.

Nao wakufuatao

Wanateswa vivyo.

Twaomba tusaidie

nasi tushike njia hii,

kwa kufa kwako na sisi

tunatoka kaburini.

Tuongoze, tufike mbinguni.


Bwana wewe umekufa

kwa ajili yetu

Ukaweka ufufuo

ulipofufuka.

Twaomba: Tuma motume,

wajulishe jina lako

mpaka mwisho wa dunia.

Utakubali na sisi

kwa kazi hii,tutume,

twakutii!

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu