39. Tumezaliwa Mtoto



K: Tumezaliwa motto,

Tumezaliwa motto.

Ni Bwana Yesu,

Atakayewachunga

Kondoo.

W: Amezaliwa motto.

Asante, Bwana Mungu.

/:   Ulivyoona kondoo

Wako,huku chini ya

Mbingu,

Hawana mchungaji. :/


K: Wewe Mama Mariamu,

Wewe Mama Mariamu,

Utaziona huzuni nyingi

Atakapotimiza sheria.


W:  Wewe Mama Mariumu,

Na umshukuru Mungu,

/: Alivyoona kondoo

Wake, huku chini ya

Mbingu,

Hawana mchungaji. :/


K:  Ni furaha yetu kubwa,

Ni furaha yetu kubwa,

Tukitumiwa Mwokozi

Yesu

Ili atupiganie vita.

W:  Nifuraha yetu kubwa,

Na tumshukuru Mungu.

/: Alivyoona kondoo

Wake, huku chini ya

Mbingu,

Hawana mchungaji. :/

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu