38. Sauti Imetoka Mbinguni
K: /: Sauti imetoka
Mbinguni;
W: Sauti imetoka
Mbinguni. :/
K: /: Ahubiri malaika
Wake Mungu. :/
W: Ahubiri malaika
Wake Mungu. :/
K: /: Ninyi watu acha
Kuogopa:
W: Ninyi watu acha
Kuogopa. :/
K: /: Nawaletea habari
Furahini:
W: Nawaletea habari
Furahini.:/
K: /: Leo amezaliwa
Mwokozi;
W: Leo amezaliwa
Mwokozi; /
K: /:Kazaliwa Kristo;
Ni Mwokozi wenu;
W: Kazliwa Kristo;
Mwokozi wenu. :/
K: /: Mtamwona huyo
Kalazwa,horini;
W: Mtamwona huyo
Kalazwa, horini. :/
K: /: Mtamwona
Amevikwa nguo;
W: Mtamwona
Amevikwa nguo.:/
K: /: Nanyi makundi,
Huko mbinguni;
W: Nanyi makundi,
Huko mbinguni. :/
K: Saidia kumshukuru
Mungu wetu;
W: Saidia kushukuru
Mungu wetu. :/
K: Utukufu wa Mungu
Mbinguni;
W: Utukufu wa Mungu
Mbinguni. :/
K: /: Kawapa watu
Amani duniani;
W: Kawapa watu amani
Duniani. :/
K: /: Hakika Mungu
Ametuona;
W: Hakika Mungu
Ametuona. :/
K: /:Tufurahi,
Tumfurahie Mwokozi;
W: Tufurahi, tumfurahie
Mwokozi. :/
K: /: Na wenzetu waone,
Ee Mungu;
W: Na wenzetu waone,
Ee Mungu. :/
K: /: Huruma zitufikie
Sisi sote. :/
W: Huruma zitufikie
Sisi sote.:/
K: /: Waokoa roho za
Waovu;
W: Waokoa roho za
Waovu.:/
K: /: Aaminiye ndiye
Mwema kwake
Mungu;
W: Aminiye ndiye
Mwema kwake
Mungu.:/
K: /: Nasi tuipokee habari;
W: Nasi tuipokee habari.:/
K: /: Tuiweke kama
Maria moyoni;
W: Tuiweke kama Maria
Moyoni. :/
Comments
Post a Comment