38. Sauti Imetoka Mbinguni



K: /: Sauti imetoka

Mbinguni;

W:   Sauti imetoka

Mbinguni. :/

K: /: Ahubiri malaika

Wake Mungu. :/

W:   Ahubiri malaika

Wake Mungu. :/


K: /: Ninyi watu acha

Kuogopa:

W:   Ninyi watu acha

Kuogopa. :/

K: /: Nawaletea habari

Furahini:

W:   Nawaletea habari

Furahini.:/


K: /: Leo amezaliwa

Mwokozi;

W:   Leo amezaliwa

Mwokozi; /

K: /:Kazaliwa Kristo;

Ni Mwokozi wenu;

W: Kazliwa Kristo;

Mwokozi wenu. :/


K: /: Mtamwona huyo

Kalazwa,horini;

W:  Mtamwona huyo

Kalazwa, horini. :/

K: /: Mtamwona

Amevikwa nguo;

W:  Mtamwona

Amevikwa nguo.:/


K: /: Nanyi makundi,

Huko mbinguni;

W:   Nanyi makundi,

Huko mbinguni. :/

K: Saidia kumshukuru

Mungu wetu;

W: Saidia kushukuru

Mungu wetu. :/


K: Utukufu wa Mungu

Mbinguni;

W: Utukufu wa Mungu

Mbinguni. :/

K: /: Kawapa watu

Amani duniani;

W: Kawapa watu amani

Duniani. :/


K: /: Hakika Mungu

Ametuona;

W:   Hakika Mungu

Ametuona. :/

K: /:Tufurahi,

Tumfurahie Mwokozi;

W:  Tufurahi, tumfurahie

Mwokozi. :/


K: /: Na wenzetu waone,

Ee Mungu;

W:  Na wenzetu waone,

Ee Mungu. :/

K: /: Huruma zitufikie

Sisi sote. :/

W: Huruma zitufikie

Sisi sote.:/


K: /: Waokoa roho za

Waovu;

W:   Waokoa roho za

Waovu.:/

K: /: Aaminiye ndiye

Mwema kwake

Mungu;

W:   Aminiye ndiye

Mwema kwake

Mungu.:/


K: /: Nasi tuipokee habari;

W:   Nasi tuipokee habari.:/

K: /: Tuiweke kama

Maria moyoni;

W:  Tuiweke kama Maria

Moyoni. :/

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu