31. Malaika Njooni Toka juu!
Malaika njooni toka juu!
Oye,oye,
tazama, tazama kitoto.
Kwa sauti kuu mwimbieni!
Oye,oye
Tazam, tazama kitoto.
Kwa vinanda na vinubi.
Haleluya! Haleluya!
Nyimbo za Yesu na Maria!
Tungeni nyimbo tamu mno
Oye,oye,
Tazama, tazama kitoto,
Kupita ndege wa aanga.
Haleluya! Haleluya!
Nyimbo za Yesu na Maria.
Imbeni, pigeni panda.
Haleluya! Haleluya!
Nyimbo za Yesu na Maria!
Utamu wa nyimbo zenu
Oye, oye,
Tazama, tazama kitoto,
Umbembeleze, alale.
Haleluya! Haleluya!
Nyimbo za Yesu na Maria.
Watu watengemane,
Oye, oye,
Tazama, tazama kitoto,
Na Mungu tumpe Shukrani!
Haleluya! Haleluya!
Nyimbo za Yesu na Maria.
Comments
Post a Comment