3. Sayuni, ufuhi!


Sayuni, ufurahi!

Shangilia yerusalemu!

Yuaja mfalme wako,

Mwenye amani kwako.

Sayuni hufurahi!

Shangilia yerusalemu.


Hosiana, Mesiya

Utubariki sasa.

Jenga ufalme wako

Ulimwenguni mwote.

Hosiana, Mesiya

Utubariki sasa.


Hosiana! Pongezi!

Twakuamkia bwana!

Kiti cha enzu yako

Chasimama milele.

Hosiana! Pongezi!

Twakuamkia Bwana!

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu