25. Mungu ni wa Utukufu
Mungu ni wa utukufu
Panapo mbinguni juu,
Na kwao wampendezao
Duniani raha-kuu.
Sikieni nchi zote
Huko mjini Bethlehemu:
/: Kristo amezaliwa,
Bwana wetu daima.:/
Watu na malaika wote
Kuwa kama maskini.
Akaacha enzi yake,
Akavaa unyenyekevu
Kristo amezaliwa……..
Asifiwe Mwana Mungu
Na Mwokozi wa watu,
Mleta mwanga na uzima
Yesu mshinda kuzimu,
Mfalme wa utengemano
Huko mjini Bethlemu.
Kristo amezaliwa,….
Comments
Post a Comment