240. Safirini kwa Amani
Safirini kwa Amani, na Mungu wetu awalinde tena majeshi ya mbingu. Yesu akiwaongoza mwafurahiwa kila siku.
Za raha hata za shida. Kwaheri! Kwaheri! Mwokozi wetu mkuu awe nanyi! Tuombapo tusisahau kuombeana daima.
Safirini kwa Amani, na Mungu wetu awalinde tena majeshi ya mbingu. Yesu akiwaongoza mwafurahiwa kila siku.
Za raha hata za shida. Kwaheri! Kwaheri! Mwokozi wetu mkuu awe nanyi! Tuombapo tusisahau kuombeana daima.
Comments
Post a Comment