23. Msifuni Mungu, Wakristo
Msifuni Mungu,
Wakristo,
Aliyetukuka,
Atufungulia mbigu
Kumtoa mwanaume:/
Atokaye kifuani
Pa Mungu babaye,
Alala sasa kitoto
Kitupu, maskini: /
Anyonya kwa mama yake,
Maziwa chakula,
Kwa kweli anatulisha
Chakula cha mbigu.
Ageuza hali yake,
Avaa mwili wetu
Na sisi anatuvika
Uzima wa Mungu.
Akawa mtumwa, na mimi
Naitwa kibwana,
Niwe nduguye na motto
Wake Mungu Baba.;/
Comments
Post a Comment