216. Babangu Kule Mbinguni
1. Babangu kule mbinguni aliye juu ya malaika, /; aangalia njia zangu na kunilinda maisha. ;/
2. Hata unywele kichwani hauanguki ovyo tu /: na siri zote za moyoni. Zajulikana kwa Baba. :/
3. Zamani nisipojua, amekwisha kuandika /: mkononi mwake jina langu , ndio upendo wake mkuu. : /
4. Ee Baba yangu u mwema, name nataka kufanya /: kama malaika wafanyavyo mbinguni kwako milele! :/
Comments
Post a Comment