20. Njooni Wachungaji Bethlehemu!



Njooni wachungaji

Bethlehemu!

Njooni kumtazama mototo

Mzuri

Mwana wa Mungu

Amezaliwa.

Baba amtuma awakomboe.

Msiogope!



Anatujia atufurahishe

Njooni tumtukuze!


Zienezwe popote sasa:

Yesu mponya kaja

Yesu mponya kaja.


Usiku mtakatifu!

Siku ya furaha

Imetuangaza kimungu

Tumeupewa ukombozi

Kristo amefika

Kristo amefika.


Twnde Bethlehemu

Tukaone

Tulivyoambiwa na malaika.

Tuyaonayo tutatangaza

Na kutukuza kwa nyimbo

Nzuri

Haleluya!


Kweli malaika

Wametangaza

Furaha kubwa kwa

Wachungaji.

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu