2. Hosiana, Mesiya

 




Hosiana, Mesiya

Aingia mjini kwake

Fagieni popote,

Zipambeni njia zote;

Tandikeni mauwa,

Aingie na shwangwe.


Hosiana,Mwokozi

Njoo, twakungojea Bwana.

Tumepamba nioyo,

Twakukaribisha kwetu.

Tunakufungulia, milango ya mioyo


Hosina, ee shujaa!

Utusaidie sisi,

Tuwe wako kwa kweli

Tukutumikie vema.

Kwani hutakubali

Watu wasio kutii.


Hosiana, Mfalme mkuu!

Uingie kwetu hima!

Uliebarikiwa,

Uingie mlango wetu.

Hosiana, karibu!

Bwana, njoo! Haleluya!

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu