185. Bwana Wetu Ametoa
1. Bwana wetu ametoa mara moja msalabani mwili na maisha yake kwa wokovu mkamilifu
2. Ndiye kafara ya kweli itoshayo siku zote; kima chake ni kikubwa hakiwezi kuzidishwa.
3. Mbinguni atuombea akiwa kitini pake. Na hapa atubariki, tukila karamu yake.
4. Twaonyesha kufa kwkae mpaka atakaporudi; tunaungana na Yeye kuwa viungo vyake tu.
Comments
Post a Comment