18. Umati wa Yesu


Umati wa yesu, njooni kwa furaha

Msikie habari ya sikukuu!

Mwana wa Mungu

Azaliwa kwetu.

Njooni tumtukuze!

Njooni tumtukuze!

Njooni tumtukuze!

Yesu Kristo!


Rehema zake Mungu

Ni nyingi,alimtuma

Mwana wake Yesu,

Awakomboe watu,

Kwetu ni kwa Mungu,

Kwetu kwa Mungu.



Na watu wakaao

Katika giza wote

Wanakungojea

Wewe Mwokozi wetu,

Na kukufurahia

Uliyetukomboa.

Yesu Bwana wetu

Tunakutukuza.


Mbinguni malaika

Wamwimbia wote

Na wote wakaao kwake

Mungu.

Mungu ni mkuu,

Aliyetupenda

Njooni tumtukuze!


Tumsifu mwokozi yesu

Siku zote,

Aliyezaliwa kwetu leo.


19. Usiku Mtakatifu!


Usiku mtakatifu!

Wengine walala

Wakeshao ni yosufu tu

Na Maria waliomlinda

Yesu mwana mzuri

Yesu mwana mzuri.

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu