175. Heri Kumjua Yesu, Bwana



1. Heri  kumjua Yesu, Bwana. 

Roho huamka, aniita.

 Anitambua mali yake, 

hanipotezi, niko kwake. 

Msimuliwe sifa zake; 

hana mwenzake, mponya pekee,

 afurahisha moyo kweli. 

Yeye ni yesu, tumtukuze.


2. Nikimwambia mambo yote

 anituliza moyo vema 

nikimfanyia kazi zangu,

 anibariki hapa na juu. Msimuliwe…………..


3. Nikimjutia nimekosa,

 anaondoa na mashaka. 

Yeye hapendi nikishindwa,

 anipa nguvu za kwendea. Msimuliwe

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu