16. Tunakuamkia Yesu



Tunakuamkia Yesu

Tunakupa pongezi.

Umezaliwa kikiwa,

Malaika wakuabudu,

Uwe nasi!


Mwana na Mungu wa pekee,

Yeye ni mgeni wetu,

Anajiunga na sisi

Mfalme wa kale na kale!

Uwe nasi!


Ashikaye ulimwengu

Ashikwa na Maria!

Ni mtoto  mdogo na mchanga!

Tena ni Bwana wa mbingu!

Uwe nasi


Nuruu ya milele aja

Kuleta mwanga wake

Aondoa giza lote;

Tuwe watoto wa mwanga.

Uwe nasi!


Kwetu akawa maskini

Kwa kutuhurunia,

Tupate mali ya mbingu,

Tuwe watoto wa Mungu.

Uwe nasi!

Amefanya haya yote

Kwa kuwa atupenda.

Kwa hiyo furahini tu

Na tumshukuru daima!

Uwe nasi!

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu