153. Ninapenda Kwenda Zangu



1. Ninapenda kwenda zangu

nimwone Mwokozi wangu.

Moyo wangu watamani

kuambatana na Yesu

/: na kumsifu milele


2. Ninapenda kusikia

nyimbo za malaika wote.

Ningekuwa na mabawa

Ningeruka leo hivi

/: mpaka Sayuni kwake:/


3. Ninapenda kuingia

pale penye utukufu,

penye nyumba za dhahabu

nimwone Mwokozi

wangu

/: na furaha za mbingu :/


4. Ninapenda kuuona

uzuri wa Paradiso.

Nikifika nitapata

tunda lake tamu sana,

/:Yesu, nipeleke juu!:/

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu