13. Salamu, Yesu Bwanangu


Salamu, Yesu Bwanangu

Wewe uzima wangu

Nimekujia, naleta

Vyote ulivyonipa:

Ni moyo na mwili wangu

Ndiyo heshima yangu.


Umezaliwa Bwanangu

Kwa ajili ya mimi;

Umenipenda kabisa,

Umenipa wokovu.

Tangu mimi sijaumbwa

Umenitengenezea

Ukombozi wa moy.


Uvuli mzito wa mauti

Ulinifunika:

Umenitokea jua,

Waniangaza moyo.

Wewe bwana umenipa

Nuru, raha na uzima.

Nakushukuru Bwana.

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu