117. Yesu Amefufuka (Haya Shangilia)



1. K: Yesu 

W:Amefufuka, ametoka kaburini

 K: Haya, 

W: Shangilia, 

 K: Haya, 

W: Shangilia, ametoka kaburini.


2. K: Shetani 

W: AMeshindwa. 

K: Shetani 

W: Ameshindwa hana lake duniani

 K: Haya, 

W: shangilia, 

K: Haya 

W: Shangilia, ametoka kaburini.


3. K: Yesu 

W: Kawatokea, 

K: Yesu 

W: Kawatokea wanafunzi wake wote 

K: Haya, 

W: Shangilia 

K: Haya 

W: Shangilia ametoka kaburini.


4. K: Amani 

W: Iwe kwenu,

 K: Amani 

W: Iwe kwenu Mpokee Roho wangu. 

K:Haya, 

W: Shangilia,

K: Haya 

W: Shangilia, ametoka kaburini.


5. K: Bwana 

W: Yesu kapaa, sasa yu juu mbinguni 

K: Haya, 

W: Shangilia, sasa yu juu mbinguni.


6. K: Sasa 

W: Kristo huketi, 

K: Sasa 

W: Kristo huketi kuumeni mwake Baba 

K: Haya, 

W: Shangilia, 

K: Haya 

W: Shangilia, sasa yu juu mbinguni.


7. K: Hivyo 

W: Anatawala, 

K: Hivyo 

W: Anatawala pamoja na Baba yake,

 K: Shangilia,

 K: Haya 

W: Shangilia, sasa yu juu mbinguni.


8. K: sisi 

W: Tusiogope 

K: sisi 

W: Tusiogope, amemtuma roho wake, 

K: Ili 

W: tuwezeshwe,

 K: Ili 

W: Tuwezeshwe kuwa mashahidi wake.


9. K: Siku 

W: Twaingojea

 K: Siku 

W: Twaingojea ya kurudi kwake Yesu.

 K: Kweli 

W: Tutaona, 

K: Kweli 

W: Tutaona, utukufu wake Bwana.

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu