11. Natoka Leo Mbinguni
Natoka leo mbinguni
Naleta habari njema
Habari yenye furaha
Kwaninyi na watu wate.
“Amezaliwa kitoto
Na mwana mwali Maria,
Nimototo mzuri na mwema,
Awaletea furaha.”
Ni Yesu, mwana wa Mungu,
Mwokoxi wa ulimwengu
Atakae kuondoa
Makosa yote na shida
Awapa wote wokovu
Ulio wekwa naMungu
Make nanyi mbinguni
Pamoja nasi milele
Alama yenu iwe hii;
Zizini mototo wa maskini
Alie vikwa viguo,
Nae ni Bwana wa mbingu
Tumsifuni sisi sote,
Tuwafuate wachunga,
Tuyaone yale makuu,
Tulio pewa na Mungu.
Yesu unipendezae,
Ugeuze moyo wangu,
Uwe nyumba yako nzuri,
Nisikuwache daima.
Tumsifu bwana wa mbingu,
Alie mtoa mwanawe.
Tumimbie kwa furaha
Pamoja nao malaika.
Comments
Post a Comment