109. Tumsifu Mungu Enzini

 


Tumsifu Mungu enzini na

Mwana wake wa pekee,

aliyefanya wokovu:

Haleluya! Haleluya! Haleluya!


Siku ya tatu mapema,

jiwe halijaondolewa,

akafufuka mshindaji.

Haleluya! Haleluya!


Ametoka kuzimuni,

makosa hata shida zote,

zimetoweka kabisa.

Haleluya! Haleluya! Haleluya!


Umemwumbua Shetani,

ukamvua mapambo yake,

ukafungua kifungo.

Haleluya! Haleluya!

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu