107. Kumekucha, ni Mzima



Kumekucha, ni mzima Yesu

aliyefufuka. Kaburi lake wazi,

kufa hakumshiki Yesu.

Sina woga na kifo, Yesu amefufuka.


Kumekucha, ni mzima Yesu aliyefufuka!

Tunaitwa nduguze, sababu anatupenda.

Tusiachane naye, yeye aliyeshinda.


Kumekucha, ni mzima Yesu aliyefufuka.

Kamba zitufungazo zimekwisha

funguliwa mwili wangu uoze,

sina woga na kufa!

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu