104. Yesu Amefufuka



Yesu amefufuka, sitakuogopa kufa,

amefufuka, naye atanifufua mimi.

Atanipa mwili mpya; ni tumaini langu.


Yesu amefufuka, anapatawala pote,

name nitatawla pamoja naye milele.

Atimiza agano; ni tumaini langu.


Yesu amefufuka, yanipasa kumngojea.

Mwenye kumtegemea Bwana wetu,

ataona rehema yake Mungu;

Ni tumaini langu.


Yesu amefufuka, naweza kumtumikia,

nashindana na tama, moyo wangu uwe safi.

Atanisaidia; ni tumaini langu.


Yesu amefufuka, siwezi kutengwa

tena na Yesu Bwana wangu.

Kwa mateso au furaha. Vyote

havinishindi; ni tumaini langu.


Yesu amefufuka, ni mlango wa

kuingia furahani mbinguni.

Nitatulizwa nikifa, nikiweza

kusema; u tumaini langu!

Comments

Popular posts from this blog

72. Tumesikia Mbiu

51. Yesu Ndiye Kiongozi Wangu